Steve Nyerere: Kero za Kinondoni zimenifanya nigombee Ubunge

Msanii wa filamu za Kibongo,Steve Mengere’Nyerere’ hivi karibuni alitangaza nia ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Kinondoni.

Aidha Steve alisema kuwa Kinondoni ndipo alipozaliwa na kukulia na anajua changamoto zinazowakabili wakazi wa jimbo hilo ambazo ni wakati wa mvua wananchi hukubwa na mafuriko lakini hakuna kiongozi aliyeweza kutatua tatizo hilo.

Pia aliongeza kuwa mikopo midogo midogo kwa kina mama na ajira kwa vijana,ongezeko la ada mashuleni ,kero ya uchafu ,tiba kwa akina mama wajamzito ambapo kwa sasa hivi mama mjamazito mzazi anapoenda kujifungua anaambiwa aende na pamba, mkasi n.k, vitanda kuwa vichache kwenye wodi zote. Gari la wagonjwa ni mmoja tu.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad