Baada ya Mchezaji Ramadhani Singano Kushinda Kesi Dhidi ya Simba na Kuwa Huru...Hii Ndio Team Iliyomchukua na Kumsajili...Simba Wacharuka na Kusema Haya

Baada ya TFF kuvunja Mkataba wenye Utata wa Mchezaji Ramadhani Singano na Timu ya Simba , Ramadhani Singano amesajiliwa na Team ya Azam kwa Mkataba wa Miaka Miwili ..Hii imekuja baada ya Siku moja tu kwa mkataba wa Simba Kuvunjwa kitu ambacho kimewauma sana simba ..leo jione msemaji wa Simba Amesikika Akiongea Redioni Akisema kuwa ishu hii ya Singano imepikwa na Azam toka mwanzo ili wamchukue Ramadhani.....

Je wewe Unamaoni Gani kwa hili ?

By Udaku Specially

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad