Happy Birthday Mwanalibeneke wa Blogu Krantz Mwantepele

Leo tarehe 19 July ni siku ya kuzaliwa Mwanalibeneke la blogu  Krantz Mwantepele ambaye ni Mkurungezi Mtendaji wa MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA pia Mkurungezi Mtendaji wa KAJO ITECH kwa  niaba ya wasomaji  wetu tunapenda kukutakutakia maisha marefu na yenye baraka na fanaka tele.
Mungu akupe maisha marefu na kukupa mwongozo sahihi kwa ndoto zako za kuweza kutengeneza ajira kwa vijana wenye nia na ari ya kujiajiri .
Mnaweza kutembelea blog zinazomilikiwa na Mwanaharakati Mzalendo Media
Mwanaharakati Mzalendo Blog link www.mwanaharakatimzalendo.blogspot.com
Harakati360 link www.harakati360.blogspot.com
Mzalendo Times link www.mzalendotimes.blogspot.com
Na hivi karibuni kutazinduliwa MZALENDO ONLINE TV
Pia unaweza kumfuata Krantz katika mitandao ya kijamii kama
 Facebook kwa jina la Mwanaharakati mzalendo  https://www.facebook.com/MWANTEPELE 
Instagram/ twitter  @ mzalendo89
 "HAPPY BIRTHDAY KRANTZ "

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad