LOWASSA Inatosha, MBOWE, LIPUMBA, MBATIA Wamwita UKAWA, Yuko Mbioni Kuachana na CCM Wakati Wowote....

Wakati Joto la Mbio la Urais Tanzania Linaendelea , Wakuu wa Vyama vya Upinzani Wanao unda kundi la Ukawa Wamemwambia Lowassa Huko alipo sasa inatosha amedhihakiwa vya kutosha na Kwamba wanamkaribisha Ukawa kwa mikono miwili kama walivyofanya wengine wakiwemo Mh Limbeli na Mh Ester Bulaya pamoja na Wale Madiwani wa Monduli....

Tetesi zinasema kuwa Muda wowote Lowassa anaweza Tangaza uamuzi wake wa Kujiunga na Upinzani ili apate nafasi ya kuwania Urais 2015.....

Una Maoni Gani ?

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mtu anahama chama ajili ya kugombea urais na mwenye akili yake timamu anamchagua? laaaaa labda niw nimekua gicha hata gicha hawez mchagua kwani atakua hatakii taifa mema labda anakitu anakusudia kufanya. Huyo akitok Ccm 2 basi mjue kwamba kuna kitu anakusudia. Mchaguweni kisha muon chamtem kuni. Si mulikua na aman mtajuta badaae. Na hata akwend Chadem siamin kwamb watamteua.

    ReplyDelete
  2. Mzee Lowassa kwani si hao akina Mbowe waliokwita fisadi wa Richmond bungeni? iweje leo wakupapatikie uwe mgombea wao?

    ReplyDelete
  3. AKITOKA TU TUNAMFILISI

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad