Marando: Tuna Mengi ya Lowassa Lakini Kwa Sasa Tunakaa Kimya

Lowassa
Mjumbe wa kamati kuu ya chadema na mwanasheria guli nchini tanzania mabere nyaucho marandu ,amesema ukawa wana mambo mengi sana ya kuzunguza kuhusu lowasa lkn kwa sasa wameamua kukaa kimya kwa kuwa wamekaa kimya kimkakati.

Pili amesema wao wameamua kukaa kimya kuhusu lowasa kwa kuwa nape,po makonda,na makokongora nyerere kwa sasa wao wanafanya kazi ambazo zilitakiwa kufanya na Ukawa

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad