Mbasha: Mimi na Flora ndiyo Basi Tena

Aliyekuwa mume wa mwanamuziki wa Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha ameapa kwa kulamba kidole, kukichovya kwenye mchanga kisha kukipitisha shingoni kuwa, hana mpango wa kurudiana na mkewe huyo katika maisha yake. 

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. ha ha ha ha maneno ya mkosaji wakati flora kesha sepa longiiiiiiiiiiii

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad