Nani zaidi? Kati ya Irene Uwoya na Jacqueline Wolper


Wadau hawa warembo wetu wa Bongo Movie, Irene Uwoya na Jaqueline, nani mrembo zaidi ya mwenzake? Ki mvuto, thamani katika jamii. Tunguke hapa nani anamzidi mwenzake katika nyanja tofauti?

My take; Irene Uwoya ni mrembo zaidi kimuonekano lakini Wolper she's more expensive than Uwoya. Wewe unaonaje mdau?
Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad