Tetesi: Rais Kikwete Apigiwa Simu Ya Dharura Arejee Ofisini

CCM walipoambiwa hawawezi kuzuia mafuriko kwa mkono walidharau,Sasa manyunyu yameanza wanaanza kukimbia ovyo ovyo.

Ni vema kama ni watu majasiri wasubiri mafuriko kamili na ndipo tuone wanakabiliana nayo vipi.

Taarifa zilizopo kwa sasa ni kuwa Lumumba hapakaliki tena,Kila mtu anamtupia lawama mwenzake,JK nasikia kapigiwa simu ya dharura arejee kuokoa jahazi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad