Treni imegongana na gari aina ya Costa iliyokuwa imezidisha abiria. Watu 4 wamefariki na 30 wamejeruhiwa.

Watu wanne wamekufa na wengine 30 kujeruhiwa leo Kilosa baada ya basi dogo aina ya coaster kugongana na treni.
Maiti na majeruhi wamepelekwa hospitali ya wilaya Kilosa
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad