UPDATES:Ajali ya Gari Bunju iliyouwa Mwanafunzi wa Shule Yasababisha Wananchi Wachoma Kituo cha Polisi..Picha hizi Hapa

Wananchi wamechoma moto Kituo cha Polisi Bunju 'A' na kusababisha Askari Kukimbia Kituo hicho cha Polisi, kwa ujumla hali haikuwa shwari  kwa Masaa manne hadi kusababisha Bara bara kufungwa kwa Muda....

Mahabusu waliokuwa ndani wametoka salama baada ya kufunguliwa na msamaria mwema





Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad