Aunt Ezekiel Anaimani na Lowassa au Magufuli?, Jibu Liko Hapa

Tunafahamu kuwa kuna baadhi ya wasanii kwenye tasnia ya Bongo Movie wao walishatangaza hivi karibuni kuwa imani yao katika uchaguzi mwaka 2015 wanaamini CCM kitashinda kupitia mgombe wake Dk. John Pombe Magufuli.

Agosti 4, 2015 kupitia kwenye mtandao wa instagram mwigizaji Aunt Ezekiel ameamua kuyatoa ya moyoni na kumtaja mgombea wa urais  ambaye anaimani naye kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 kwa kuyaandika haya :

Tunaimani na Lowassa..Mungu bariki Tanzania, Mungu bariki Africa

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wapenda kuhongwa wote wanaimani na Lowasa

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad