Chat ya Instagram kati ya Diamond na Wema ni ‘Feki’ – Meneja

Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam Sharaff amedai kuwa screen shots ya kile kinachoonekana kuwa ni mazungumzo kati ya Wema na Diamond kupitia DM za Instagram ni feki.

Katika mazungumzo hayo, Wema anamueleza Diamond kuwa apuuzie kile mashabiki wake wanachokisema kuhusiana na Zari na mtoto wao Tiffah na kwamba bado anampenda staa huyo wa ‘Nana.’

Diamond naye anaonekana kupagawa na ujumbe huo na kumuomba waonane.

Hata hivyo Sallam Ambae ni Meneja wa Diamond kupitia Twitter amepuuzia screenshot hiyo kwa kudai kuwa ni feki.
Tags

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. labda aliiandika yeye meneja laam.

    ReplyDelete
  2. huyo salaam anauhakika akauze bangi zake huko.

    ReplyDelete
  3. Watarudiana tu

    ReplyDelete
  4. Tusubiri ndo wanaanza hivyo

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad