Matokea ya Mechi Kati ya Yanga na Azam Nimekuwekea Hapa.....

Leo Palikuwa na Mtanange wa Shoka Kati ya Yanga na Azam Kugombania Ngao ya Hisani ya Ufunguzi wa Ligi Kuu ya Tanzania ..Na Matokeo ni Kama yafuatayo...
Yanga wameshinda ngao ya hisani kwakuifunga Azam kwa Penati 8 kwa 7
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad