Ni Kampeni za Mtaa kwa Mtaa: LOWASSA Aibukia Tandale Sokoni Kuzungumza na Mama Ntilie na Wafanyabiashara Wengine



Mgombea wa Urais wa Ukawa Edward Lowassa  pamoja na mgombea mwenza Juma Duni Haji leo wamewashitukiza wafanyabiashara  katika soko la Tandika jijini Dar es salaam.

Aidha, wagombea hao waliwasili katika soko hilo asubuhi ya leo ambapo shughuli zilisimama kwa muda.


Kabla ya kuanza mazungumzo na wafanyabishara  hao,Lowassa   alikaribishwa  chai  na mmoja wa wafanyabiashara katika soko hilo.

Ziara hiyo ya kushitukiza iliyoanzia Mbagala siku ya jana ni maalumu kwa lengo la kuzungumza na wananchi wa hali ya chini kuhusiana na matatizo yanayowakumba  katika maisha yao ya kila siku.

Je, Unataka kufahamu kesho Lowassa atakuwa wapi? Endelea kufuatilia mtandao  huu.

Post a Comment

15 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Saaaaaaaaaafiiiiiiiiiiiiii uongozi ni vitendo sio maneno weeeeeeee na mipasho

    ReplyDelete
  2. Tupo nyuma yako baba yetu lowasa uje utukomboe Mzee wetu Mungu wetu akulinde na kukupigania uishi maisha marefu

    ReplyDelete
  3. Ndio our next president.People Power

    ReplyDelete
  4. mzee E.Lowasa nakukubali haijawahi tokea hivi-toka nyerere,sijui makapa,-God Bless u baba.

    ReplyDelete
  5. The becoming president wish u success

    ReplyDelete
  6. saaaffiiiii saaanaaaa mkuu!! Mungu akibariki wewe ndiye kiongozi!

    ReplyDelete
  7. Tuache ushabiki jamani,swali-Huyu mheshimiwa angepata tatizo lolote ingetafsiriwaje?
    Bila shaka wangetupiwa lawama wana usalama,Sio vizuri amefanya mzee wetu,alitakiwa awahusishe vyombo vya dola kama alivyoita wanahabari.

    ReplyDelete
  8. STAILI HII HAKUNA BARANI AFRIKA NA ANGALIA KWA KUWA KIKWETE ANAPIGANIA ANGUKOO KUU TAYARI AMEMWAGIZA KOVA APIGE MARUFUKU MAWASILIANO HAYA NA UMMA WA WATANZANIA WALIOKWISHA AMUA.MHE.LOWASSA ENDELEA KUTUTEMBELEA HUKU TULIPO NA TUNASEMA USHINDI WAKO OCTOBA 25 ULIKUA ASILIMIA 87 sasa unapanda tuna HASIRA HASIRA HASIRA USHINDI WAKO SASA NI ASILIMIA 91.NI HIVI PINGAMIZI TUNAONGEZA POINT.ETI LOWASSA ADHURIWE WEE KOVA YAANI KUMBE NA WEWE NI BATA MZINGA KWELI KWELI.WALINZI WA LOWASSA NI SISI RAIA NA TENA BASI ULINZI KAMA UKUTA WA BERLIN.KIKWETE SISI NA WEWE

    ReplyDelete
  9. kazi kweli kweli mm najiuliza tutafika kweli naona kwa hali hii maisha ya mtanzania yatazidi kuwa magumu watanzani tunapenda ushabiki tu kwetu kibaya huwa kizuri na kizuri huwa kibaya mambo yetu kinyumenyume na kupenda misifa ya kijinga na kujitia utafauti ili na wewe uonekane tofauti hapa jamani hatujengi nyumba tunajenga nchi kama tunajenga nchi tusibahatishe tusiseme pengine tuseme huyu ndie rais anafaa na kafanya kazi nzuri kwa kulilia na kusimamia maendeleo ya wananchi tusikubali maonyesho ya kampeni tutazame ubora wa utendaji kazi hapo nyuma coz hawa wagombea wote walikuwa viongozi wetu tujiulize yupi alijitoa katika kusimamia maslahi yetu kisha ndo tuangalie sera kwani unaweza kuwa na sera nzuri ukashindwa kuzisimamia yakawa ndo yale yale tunataka rais msimamizi na mkali na mwenye kujizatiti ndo tutapiga kwani mm naona hawa wanasiasa wingi waongo wizi na matapeli mm naona tukipata mtu kama huyu hata makatibu wakuu wataipa hawa ndo wanazingua zaidi katika serikali za kiafrika.

    ReplyDelete
  10. hahahah................................................................\
    wanadanganyika hahahahahahahahh

    ReplyDelete
  11. kazi kweli kweli mm najiuliza tutafika kweli naona kwa hali hii maisha ya mtanzania yatazidi kuwa magumu watanzani tunapenda ushabiki tu kwetu kibaya huwa kizuri na kizuri huwa kibaya mambo yetu kinyumenyume na kupenda misifa ya kijinga na kujitia utafauti ili na wewe uonekane tofauti hapa jamani hatujengi nyumba tunajenga nchi kama tunajenga nchi tusibahatishe tusiseme pengine tuseme huyu ndie rais anafaa na kafanya kazi nzuri kwa kulilia na kusimamia maendeleo ya wananchi tusikubali maonyesho ya kampeni tutazame ubora wa utendaji kazi hapo nyuma coz hawa wagombea wote walikuwa viongozi wetu tujiulize yupi alijitoa katika kusimamia maslahi yetu kisha ndo tuangalie sera kwani unaweza kuwa na sera nzuri ukashindwa kuzisimamia yakawa ndo yale yale tunataka rais msimamizi na mkali na mwenye kujizatiti ndo tutapiga kwani mm naona hawa wanasiasa wingi waongo wizi na matapeli mm naona tukipata mtu kama huyu hata makatibu wakuu wataipa hawa ndo wanazingua zaidi katika serikali za kiafrika.

    ReplyDelete
  12. kazi kweli kweli mm najiuliza tutafika kweli naona kwa hali hii maisha ya mtanzania yatazidi kuwa magumu watanzani tunapenda ushabiki tu kwetu kibaya huwa kizuri na kizuri huwa kibaya mambo yetu kinyumenyume na kupenda misifa ya kijinga na kujitia utafauti ili na wewe uonekane tofauti hapa jamani hatujengi nyumba tunajenga nchi kama tunajenga nchi tusibahatishe tusiseme pengine tuseme huyu ndie rais anafaa na kafanya kazi nzuri kwa kulilia na kusimamia maendeleo ya wananchi tusikubali maonyesho ya kampeni tutazame ubora wa utendaji kazi hapo nyuma coz hawa wagombea wote walikuwa viongozi wetu tujiulize yupi alijitoa katika kusimamia maslahi yetu kisha ndo tuangalie sera kwani unaweza kuwa na sera nzuri ukashindwa kuzisimamia yakawa ndo yale yale tunataka rais msimamizi na mkali na mwenye kujizatiti ndo tutapiga kwani mm naona hawa wanasiasa wingi waongo wizi na matapeli mm naona tukipata mtu kama huyu hata makatibu wakuu wataipa hawa ndo wanazingua zaidi katika serikali za kiafrika.

    ReplyDelete
  13. Pambana baba. Safari ni ya uhakika usijali.

    ReplyDelete
  14. Na NI kweli yote August 26, 2015 at 10:54 AM aliyosasema. Asante sana kwa kuyaweka BAYANA

    Wakiendelea KUWAKATAZA UWANJA, KUZUIA MABADILIKO - BASI CHOCHONDE CHATI YA EL, ITAENDELEA KUPANDA!! MPAKA 99.9% MAGUFULI UKIMWACHIA TU DAKIKA 2, ATAKUWA UKAWA!!

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad