Penny Agoma Kuulizwa Kuhusu Mtoto wa Diamond Platnumz na Zari ..Kisa Hichi Hapa

Yamekuwa hayo? Aliyewahi kuwa mwandani wa staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Penniel Mwingilwa `DVJ Penny’ amegoma kuulizwa chochote kuhusu kitendo cha zilipendwa wake huyo kupata mtoto wakati yeye alidaiwa kukataa kumzalia.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Penny alifunguka kwamba, haoni kama kuna sababu ya kumzungumzia Diamond na mtoto wake (Tiffah) kwani walishaachana zaidi ya miaka miwili sasa.

Jamani, huyo mtu kwa sasa hanihusu na sioni kama kuna sababu ya kumuongelea mtoto wake, anayepaswa kuulizwa mambo ya Diamond ni Zari, kwa hilo mnisamehe (no comments), nikiulizwa niulizwe mambo yangu tu,” alisema Penny.
GPL
Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. una akili sana penny

    ReplyDelete
  2. Asikatae kumzungumzia, yeye ndio alosema kwamba domo hana uwezo wa kutungisha mimba na mwenyewe anajua, sasa atueleze imekuwaje kamtia 'bibibomba' mimba na kazaa??

    ReplyDelete
  3. Zari ndio anajua mtoto wa nani by the way kitanda hakizai haramu.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad