Shamsa Ford na Nay wa Mitego Waweka Mambo Hadharani.. Wadai Wao ni Wapenzi



Hatimae Mwanamuziki Ney wa Mitego na Mrembo Shamsa Ford Wamekubali live Bila chenga kwamba wao ni Wapenzi na wanapika na Kupakuwa...Hiii imekuja baada ya Muda Mrefu Kukataa kuwa wao ni wapenzi...Nay na Shamsa Wameongea Hayo Kwenye Global Online TV ya Global Publishers......

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad