Wagombea Ubunge Tarime Wakamatwa Kwa Kutengeneza Kura FEKI

Uchaguzi wa kura za maoni kupitia CCM katika jimbo la Tarime Mjini na Vijijini umeahirishwa hadi kesho baada ya kukamatwa makaratasi maalum ya kupigia kura (kura feki ) zaidi ya elfu 20 zikiwa na majina ya wagombea, Nyambare Nyangwine na Gaudencia Kabaka yakiwa tayari yameshawekewa alama ya NDIO kuonesha kura zimekubaliwa

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. KWANINI KILA SIKU UFISADI /RUSHWA NDANI YA CCM-Mara wabunge mara madiwani??????????????????bora watenguliwe udhu tu na ukawa na chapombe hamia ukawa--pataiva maana wewe kiongozi mwadilifu

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad