Wema Sepetu Hadharani na Rafiki wa Diamond Platnumz

KABAANG! Mwanadada asiyeishiwa matukio Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ amenaswa kimalovee na rafiki wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ huku ikidaiwa ni ‘mtu’ wake.
Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba jamaa huyo ambaye anajiita Dangote Kifyagio ni rafiki wa Diamond ambaye alikuwa akimsaidia mambo yake kimuziki ili awe juu.
wema (3)“Wema yuko karibu sana na huyu jamaa (Dangote), hata Singida alikuwa akizunguka naye sehemu mbalimbali.

Ndiyo maana kuna picha kibao ambazo zinawaonesha wakiwa romantic kiasi kwamba wapo wanaokwenda mbali na kusema ni wapenzi, watu bwana,” kilidai chanzo hicho na kuongeza:

Unajua yule Kifyagio alikuwa rafiki wa Diomond sana huko nyuma, sasa isije ikawa kaamua kujiweka kwa shemeji yake maana si unawajua tena hawa mastaa wetu, nyie fuatilieni mtaujua ukweli.”

Baada ya gazeti hili kunasa ‘ubuyu’ huo pamoja na picha za Wema na jamaa huyo wakiwa kimahaba sehemu tofautitofauti, lilimvutia waya mrembo huyo na kumbana kuhusu uhusiano =wake na Dangote Kifyagio ambapo simu yake haikupokelewa.

Alipotumiwa ujumbe juu ya madai kuwa anatembea na jamaa huyo alijibu kwa hasira kama ifuatavyo:
“Halafu sikia nikwambie, vitu vingine ni upuuzi tu hivyo vitu vinaniharibia deal zangu na mipango yangu yote, sipendi hata kidogo, yaani sipendi kwanza kufuatiliwa, amekuwa mtu wangu?

 Nishawahi kumposti na kusema ni bwana’angu zaidi ya mimi na yeye kuheshimiana? Nina bwana wangu ambaye ndiye kila kitu kwangu jamani sipendi wallah…sipendi.”

Post a Comment

9 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hana lolote huyo Wema. Kafulia kila kona sasa anatoa gonga u*hi kwa kila rijali. Shughuli yake kubwa kunoa maj*ando ya wanaume. Na bado. Malaya mbovu weee. Umemuambukiza Ommy gundu mpaka sasa hana anachofanikiwa.

    ReplyDelete
  2. hata mama yako nae alikuwa malaya mbofu ndo maana aligongwa na kila mwanaume mpaka ukazaliwa wewe Anony 11.23 AM.

    ReplyDelete
  3. gundu analo mama yako alokuzaa chooni bila kadi ya hosp. na baba yako hunjui umebaki na hasira kwa Wema utakufa umesimama hanith wee. Anony 11.23. AM

    ReplyDelete
  4. Du! Wema anawaumiza watujamani yaani kila tusi anapewa lakini mtoto huyooooooo, anazidi kungaaaaaaaaaaaa.

    ReplyDelete
  5. Wema atazidi kuwa Wema, mtawanga uchi mwaka huu, yake ndo yanamuendeaaaa kuliko zamani.

    ReplyDelete
  6. DUA LA KUKU HIZO WEWE MTUKANE TUU HUKU HUNA HATA PA KULALA. HASIRA ZAMKIZI. GOOOOOOOOOO WEMA USIWASIKILIZE WANAONUKA MIDOMO SIO KOSA LAO NJAAKALI.

    ReplyDelete
  7. hata mkimtukana vipi hamumpati Madamu Wema, kawaacha mbali saaaaaaaaaana.

    ReplyDelete
  8. wewe Anouny 11.23. usiwe na hasira na Wema humfikii hata udhikiri uchi.. ops! mama yako amegongwa na wangapi mpaka wewe ukazaliwa? muulize kwanza angalau umjue baba yako wa ukweli sio wa kudandia.

    ReplyDelete
  9. Wema anauchi Mkubwa

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad