Askofu Gwajima Ashindwa Kumvumilia DR Slaa, Kesho Kumwaga Hadharani Yote ya DR Slaa Kwa Waandishi wa Habari

Askofu Gwajima Kesho Ametangaza kuwa Ataongealea yote aliyotuhumiwa na Dr Slaa na Kuitwa Msenga mbele ya Wahandishi wa Habari ...Askofu Gwajima Amesema Atafunguka yote anayoyajua kuhusu Dr Slaa kukimbia chama.....

Top Post Ad

Below Post Ad