CCM waumbuka Uwanja wa Taifa, January Makamba Akumbana na Nguvu ya UKAWA Baada ya Kuwaingiza Watu Bure Uwanjani

Juzi kwenye uwanja wa taifa katika mechi ya Stars na Nigeria bwana Januari Makamba akajitia pedezjee kulipia watu wote walokuwa nje waingie ndani bure, ilipofika half time mtangazaji wa PA ya uwanja akaanza kumnadi Januari kwa mbwembwe zote, cha ajabu uwanja mzima ulilipuka na kuanza kuzungusha mikono kuashiria mabadiliko bendera na picha za Lowassa hata sijui ziliibukia wapi huku wakiimba People Powers Ambayo ni Slogan ya UKAWA... ilikuwa patashika nguo kuchanika. Kweli Lowassa kiboko yenu.


Top Post Ad

Below Post Ad