Kwa Haya Anayonifanyia Shemeji Ananitaka au Mawazo Yangu Tu?

Wadau nipo nyumbani kwa takribani mwezi sasa baada ya kumaliza mkataba wangu na kampuni flani.sasa hapa nyumbani ninaishi na wife na kidi wangu wa miaka 3..na nimekuta wife kamleta mdogo wake wa kike ambaye amemaliza chuo mwaka jana anasubiria ajira,sasa wadau wife wangu ni mfanyakazi so mida mwingi anashinda job,mimi nipo tu home na shemeji yangu,kid anapelekwa shule asubuh mpska jioni.shem huyu wadau ni mrembo sana ana figure matata sana na ni mzuri kwa kweli..yani mitihani ninayoipata ni mikubwa sana..mana nguo anazo vaa zinaonenya umbo lake namba 8 lilivyo,juzi asubuh nilikuwa nimelala akagonga chumbani kwangu anatafuta kitu wakati kavaa khanga tu.jamani naombeni ushauri wenu nifanyaje je?maana uzalendo unaelekea kunishinda asee.maana sasa imefika wakati naliota umbo lake na uzuri wake nimechanganyikiwa.naombeni ushauri weni wadau.

Asanteni

By Fukara
Tags

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Jamani hawa matraffic bagamoyo road ndo nini kusimama na torch zao yani huku mjini tutembee speed 50 kweli wanasababisa folen sana

    ReplyDelete
  2. Acha tamaa. Hayo mavazi ni mambo ya usasa, na wanawake kushinda na khanga ni kawaida. Pengne hana wazo nawe ila we ndo unamtamani. Utapata cha mbavuni halafu uaibike na kudai aondoke hom. Pia tafuta kazi sio kukaa hom na kunuia uzinzi

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad