Kwa Wanaume: Usithubutu Kumsomesha Mke, Mchumba Ama Mpenzi

Kusomesha ni jukumu la mzazi, sio mume, mchumba au boyfriend. Kozi pekee wanayotakiwa kusomeshwa hawa wenzetu ni cookery (mapishi), driving kwa ajili ya kuendesha lile gari la mkopo apeleke watoto shule na kuendea sokoni na sayansi kimu tu, zingine unajitafutia presha.

Wengi wamelizwa huko vyouni, wanakutana na watu wa kila aina kuanzia serengeti boys mpaka veterans wa mapenzi wenye hela zao na wanaojua Kujali...Msichana Atajifanya Mgumu Mwaka wa kwanza tu akishazoea ni Mteremko wa Kitonga hasa wake za watu, wengine ndio dharau zinaanzia hapo na ndoa au penzi kuisha.

Mwenye masikio na asikie na Mwenye Kubisha hili aje Hapa...

By Mdukuzi
Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hilo naunga mkono wake za watu vyuoni wanavuliwa Sana chupi

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad