Msimamizi wa Mitihani Aingiza Mkono Sehemu za Siri za Mwanafunzi wa Kike, Huwezi Kuamini Alichokikuta


Hii imetokea huko Nigeria baada ya Mwalimu msimamizi wa mitihani kua gumzo  baada ya kumhisi mwanafunzu kaingia kwenye chumba cha mtihani na majibu. Alikutana na  mwanafunzi huyo akichechemea na ndipo alipomshuku na kuingiza mkono wake kwenye sehemu zake za siri jambo lililowashangaza sana  wanafunzi wengine waliokua kwenye chumba hicho cha mitihani.

Alikuta karatasi yenye majibu kwenye chupi yake!!

Duu hatarii...

Top Post Ad

Below Post Ad