Picha 6 za Mafuriko ya Lowassa Kibaigwa Mkoani Dodoma Jana



Tangu tarehe 29 August ulipofanyika uzinduzi wa kampeni  za Ukawa,Lowassa  ameendelea kuwa gumzo  sehemu mbali mbali anapofanya  mikutano   ya  kampeni  zake.
 
Jana Sept 10,Lowassa alikuwa Mkoani Dodoma katika wilaya ya Kongwa mji mdogo Kibaigwa katika uwanja wa Amani 

Top Post Ad

Below Post Ad