Sugu Mgombea Ubunge CHADEMA (UKAWA) Apigwa Mawe Mbeya MJINI, Aahirisha Mkutano

Mheshimiwa Sugu alipigwa mawe na gari lake kuharibiwa wakati akienda kata ya Iziwaa jiji Mbeya; kutokana na vurugu hizo ; 
Sugu kahairisha kampeni .

Gari la Mgombea Ubunge jimbo la Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi Sugu likiwa kituo cha Polisi kati jijini Mbeya mara baada ya kushambuliwa kwa mawe na watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa CCM
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Na bado Wametuvuruga hao chadema kujifanya wameingia ukawa majimbo yote kuchukua wao,, cuf na nccr tupo nje.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad