Sumaye: Nimenunua Shamba Kwa Kiinua Mgongo Changu, Mimi si Fisadi

"Mimi ni mkweli sana, ni kweli nina shamba langu Morogoro nimelinunua kwa kiinua mgongo changu.

Mimi sikutaka kuwekeza kwenye majumba kwa kuwa nilikuwa sina pesa nyingi za kununua magorofa ndio maana nikaamua kuwa mkulima"
Tags

Top Post Ad

Below Post Ad