TANZIA..Mgombea Ubunge Afariki Dunia Kwa Ajali ya Gari

TANZIA: Mgombea wa Ubunge jimbo la Lushoto kwa tiketi ya CHADEMA , Ndg. Mohamedi Mtoi Kanyawana amefariki dunia katika ajali ya gari aliyoipata akitokea kuzindua Kampeni tarafa ya Mlola.

Walikuwa wamemaliza Kampeni na Mtoi aliwapeleka Wenzake Mpaka Lushoto Mjini Kisha akaondoka kuelekea Nyumbani Kwake Ndio Njiani Gari Likapata Ajali na Ndipo Kamanda Mtoi Akafariki Dunia.....

Taarifa za hivi punde ni kuwa kamanda Mohamedi Mtoi amepata ajali na kufariki dunia 

Maelezo haya yamethibitishwa na katibu wa chama wilaya Lushoto Kamanda Dulla.
Tags

Top Post Ad

Below Post Ad