Gari la Serikali Lakamatwa Huko Njombe Likidaiwa kuwa na Maboksi ya Kura FEKI zilizopigwa Kumchagua Magufuli

Gari  la  Serikali  limekamatwa  mkoani  Njombe  likidaiwa  kuwa  na  kura  FEKI  Zilizizopigwa  kwa  ajili  ya  mgombea  urais  wa  CCM

Gari  lililokamatwa  ni  la  Tanroads, na  limekamatwa  leo  asubuhi.Walipokamatwa  walijitetea  kuwa  walikuwa  wamebeba  t shirt  za  Magufuli.


Baada  ya  Upekuzi  kufanyika, chini  ya  shinikizo  la  wananchi, gari  hilo  lilikutwa  na  kura  ambazo  tayari  zimepigwa  kumchagua  Magufuli.

Taarifa  hii  Imethibitishwa  na  James  Mbataia, Mwenyekiti mwenza  wa  Ukawa. . 
Tazama  Video




MKOANI NJOMBE, gari lenye kura zilizopigwa tayari. We can not tolerate this
Posted by Mussa Samora on Saturday, October 24, 2015

Top Post Ad

Below Post Ad