Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon aipongeza Tanzania Kwa Uchaguzi Huru na Haki

Salam za pongezi kitaifa na kimataifa zaanza kutolewa kwa Rais mteule wa awamu ya tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Taifa la Tanzania.

Mapema leo baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kumaliza hafla ya kumkabidhi Rais mteule cheti cha ushindi katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Jijini Dar es Salaam.Tanzania ilianza pokea salamu za pongezi toka kwa Katibu Mkuu wa umoja wa mataifa (UN) Ban Ki -Moon liyetuma salamu zake za pongezi.

Pia, aipongeza Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kuratibu na kusimamia vyema zoezi zima la Uchaguzi, ukusanyaji matokeo ya Uchaguzi kutoka katika vituo mbalimbali, ujumlishaji matokeo kusanywa, pamoja na usomaji matokeo hayo uliokuwa wa wazi, huru na haki.

Hata hivyo katika nyongeza yake, aelezea "concern" yake juu ya zoezi la Uchaguzi Zanzibar.


Soma Hapa:



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad