Kauli ya Kwanza Kabisa Kutoka Kwa Mwigulu Nchemba Baada ya Taarifa za Awali kuwa Ameshinda Ubunge Iramba

Asanteni wanairamba kwa kunituma tena,Nakwenda kufanya kazi ya Jimbo na Taifa langu.Asanteni kwa kura za kutosha kwa Rais mtarajiwa Magufuli,hakika awamu ya tano ni kazi tu.

Top Post Ad

Below Post Ad