Lowasa Ajikanyaga kanyaga Leo Alipokua Akihojiwa na Zuhura Yunus wa BBC Swahili

Siasa zetu za hapa kwetu ambazo wakati mwingine wanasiasa wanawaandaa waandishi wa habari ili wawaulize maswali yakuwapendelea leo imekua tofauti baada ya mh Lowasa kukutana na maswali ya BBC na Kuyajibu juu juu bila kuingia kwa undani zaidi:

BBC:Mh Lowasa unasema kwamba utatoa elimu bure kuanzia chini mpaka chuo kikuu hizi pesa zitapatikana vp?
Jibu:Pesa zipo nyingi tu kwenye gesi,tuna madini....!
BBC:Lakini ulishakua waziri mkuu vp hili lilishindikanaje ukiwa waziri mkuu?
Jibu:Tulijenga shule za kata nyingi sana.
BBC:Lakini elimu haikua bure mh Lowasa?
Jibu:Nadhani unanionea.
mmmmmh!
Kesho atahojiwa Magufuli ndipo watu watatofautisha hawa wawili.
Kimsingi Lowasa ka fail kukutea hoja zake na jibu ni raisi tu kwamba hizi ni ahadi zisizotekelezeka ndio maana anashindwa kujieleza sawasawa.

Top Post Ad

Below Post Ad