Lowassa: Kama nikishindwa Urais nina ng'ombe nitaenda kuendelea na maisha yangu kijijini

Ameyasema hayo alipokuwa akiongea na Mtangazaji wa BBC Zuhura Yunus katika kipindi cha Dira ya Dunia usiku huu. " nikishindwa Urais nina ng'ombe nitaenda kuendelea na maisha yangu kijijini.

Top Post Ad

Below Post Ad