Matokeo Rasmi ya Ubunge Jimbo la MBEYA Mjini Haya Hapa

Jimbo la Mbeya Mjini: Joseph Mbilinyi wa Chadema, ameibuka mshindi kwa jumla ya kura 97675, dhidi ya mpinzani wake wa karibu Mwalyego Shitambala wa CCM, aliyepata kura 46894

Top Post Ad

Below Post Ad