Mengi Azomewa Diamond Jubilee, Aokolewa na Membe

Mzee yamemkuta leo pale kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee leo.Ameokolewa na Mh Membe ambaye amemtoa kwa gari lake(pichani).Lakini pia Mwandishi Sam Maela wa ITV leo mchana kapata mshike mshike wa kushiba pale Lumumba,ilibidi aokolewa na polisi.Jamani haste haste.Kuna maisha baada ya Uchaguzi.Lile lilikuwa gemu tu.Mwacheni huyo Mzee,
 SOURCE - JAMII FORUMS
Tags

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. NDIO AKOME KUSHABIKIA

    ReplyDelete
  2. Wivu tu unawasumbua, wamuache mzee wa watu na njaa zao kampeni zimeisha ndo mtajua kuisoma namba

    ReplyDelete
  3. si ushabiki kila mmoja ana haki ya kuchagua amuaminie

    ReplyDelete
  4. hawana dili hao wana CCM ....ITV ilifanya kazi nzuri sana kuelimisha jamii au mlitaka iwe kama star TV na TBC waliokuwa na wanaoendelea kutuonyesha habari za CCM TUUUUUUUUUUU!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad