Rais Kikwete Naye Keshapiga Kura....Kasema Tarehe 5 Atakabidhi Nchi


Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa Tarehe 5 Mwezi November 2015 atakuwa Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Rais ameyasema hayo alipokuwa akipiga kura leo katika jimbo la Chalinze-Msoga ambapo aliambatana na mkewe Mama Salma Kikwete 

Top Post Ad

Below Post Ad