Rais PAUL KAGAME Atoa Dongo Kwa Jakaya Kikwete Kuhusu Uchaguzi Ujao Oct 25 Oct

Nimependa maneno ya Paul Kagame ameongea ukweli na siyeye tu bali ni jamii yote ya kimataifa wanasubiria huu uchaguzi kwa hamu maana sisi tumekuwa wakwanza kuwanyoshea wenzetu vidole utadhani sisi ni makaika!Haya sasa mpira huko kwetu kupiga penati je tutapaisha au tutalenga goli???

Top Post Ad

Below Post Ad