Wabunge na Watu Maarufu Waliopoteza na Kushindwa Kupita Katika Ubunge Mpaka Sasa ni Hawa Hapa

Baadhi ya Wabunge na watu maarufu waliopoteza ama Kushindwa kupata kura za kutosha kushinda jimbo hawa Hapa:

Julius Mtatiro CUF,
Omari Nundu CCM,
Aggrey Mwanri CCM,
Anna Kilango Malecela CCM,
Augustino Lyatonga Mrema TLP,
Namelock Sokoine CCM,
Ezekiel Wenje CDM,
Moses Machali ACT,
Jerry Slaa CCM,
Didas Masaburi CCM,
Vicent Nyerere CDM,
Ole Sendeka CCM,
Cyrill Chami CCM,
Kiwia CDM,
Mkosamali NCCR MAGEUZI,N.K
Wasira

Top Post Ad

Below Post Ad