Zikiwa zimebaki siku tano, Home Shopping Centre yasitishwa uwepo wake

Sasa ni wazi hali imeanza kuwa tete kwa wafanyabiashara washirika wa vigogo wa serikali na watoto wao... Kampuni ya Home Shopping Centre washaanza kufungasha virago na kukimbia kusikojulikana.

Ikumbukwe kampuni hiyo imekuwa ikihusishwa na moja wa mke wa kigogo hapa nchini, pamoja na mtoto wa kigogo hapa nchi.(Mama na Mtoto).... Home Shopping centre wamekuwa wakishutumiwa zaidi kwenye sakala la ukwepaji kodi, ambapo kwa siku inakadiriwa walikuwa wanakwepa zaidi ya billioni 12 kwa bidhaa wanazoingiza nchini...

Kwa wale wadau wa Kariakoo watakuwa wanakumbuka sakata la hawa majamaa vizuri sana....

Myatake: Serikali ya Ukawa isinyamazie hili jambo. Lazima wawajibishwe kwa ukwepaji kodi hata kama wakisepa....

Source:Jamii Forums

Top Post Ad

Below Post Ad