Kassim Majaliwa Aidhinishwa na Wabunge Kuwa Waziri Mkuu kwa Kura 258

Mh. Kassim Majaliwa amethibitishwa na wabunge kuwa Waziri Mkuu mteule kwa kupata kura za ndio 258 sawa na asilimia 73.5% ya kura zote 351 zilizopigwa.

Kura za hapana ni kura 91 sawa na asimilia 25 ya kura zote, na kura zilizoharibika ni 2.

Majaliwa amemshukuru Rais  Magufuli kwa kumwamini na ameahidi kuwatumikia watanzania wote  bila kujali itikadi zao za vyama.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Yaani wapinzani wana kazi moja tu mwaka huu, nayo ni kupinga kila kitu hahahahaha

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad