Mwanachama wa CCM Awajeruhi Kwa Panga na Shoka Wanachama Wawili wa CUF.....

Jeshi la Polisi mkoani Tanga limemtia mbaroni mwanachama wa chama cha mapinduzi Jullius Joseph kufuatia kuwajeruhi vibaya wafuasi wawili wa chama cha wananchi CUF kwa kuwakata kwa kutumia shoka na panga na kuwajeruhi vibaya ambapo hivi sasa wamelazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tanga ya Bombo kwa ajili ya matibabu.
Chanzo ITV
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad