NANI Alisema Dr John Magufuli Ajui Kuongea Kingereza..Sasa Hapa Nimekuwekea Video Akimwaga Kingereza Mpaka Utafurahi

NANI Alisema Dr John Magufuli Ajui Kuongea Kingereza..Sasa Hapa Nimekuwekea Video Akimwaga Kingereza Mpaka Utafurahi Nimekuwekea
VIDEO HAPA CHINI:

Post a Comment

20 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hiyo lafidhi bora aongee Kiswahili au kisukuma

    ReplyDelete
    Replies
    1. Magufuli sio mueingereza hata umkosoe anavyoongea, ndio maana watanzania maendeleo hayapatikani sababu ya kuangalia vitu visivyo na maana. Ukiwa nchi za wenzetu mtu hajali anaongeaje na hakuna anayemcheka. Wewe kigereza chako kikoje?

      Delete
  2. Anaonekana anajua but he need to work on his pronunciation

    ReplyDelete
  3. Lafidhi Ni tongue twist ya mtu...
    mr president Ni msukuma Na lafidhi lazima iwe ya kisukuma Na pia kwanza sio mzungu...so hawez Kung'ata maneno Kama amezaliwa hukpo...wazungu, wahindi, wachina kila mmoja anaswaga zake Na kinachozungumzwa kinasikika...
    MAGUFURI Oyeeeee....!

    ReplyDelete
  4. Tizama m2 anauwezo gani wa kuleta maendeleo cyo lugha . Hata ukitembea nchi za watu maprofessor wanatumia lugha zao sana siyo ishu kutojua kiengereza

    ReplyDelete
  5. Mkuu anakandamiza ngeri Anapiga chupping kabisa Anaweka na zege kabisa mother toung Ndo kivumbi na jasho

    ReplyDelete
  6. Watanzania (wengi kama sio wote) tumekikuta kiingereza mashuleni na vyuoni. Wengine tumemaliza vyuo vikuu tukiwa hatuwezi kuongea fluent English. Lazima tukubali kwamba we have got our languages. First is the mother tongue (mimi msukuma), second the national language (Kiswahili), then hiyo ya tatu Kizungu tumeijulia ukubwani. Binafsi nisingeona tatizo hata kama Magufuli angeongea Kiswahili, halafu anayetaka kusikia/kuelewa kwa lugha yake basi alete mkalimani wake. Wapo marais kibao duniani wanaongea kwa lugha zao hata kwenye mikutano mikubwa ya kimataifa, mwenye shida ya kuupata ujumbe kwa lugha yake atapata tafsiri accordingly.

    ReplyDelete
    Replies
    1. hapo bro nimekukubali tatizo la watz wanafikiria kujua kingereza ni kuwa na akili au kuwa intelligent which is not true. wengine waliokuwa wakisema hajui kingereza wenyewe hawajui. it is just a language

      Delete
  7. Anajua sana sema tu wabongo tunapenda kuiga ...sasa watu wanataka aige lafudhi za kizungu....

    ReplyDelete
  8. Anajua sana sema tu wabongo tunapenda kuiga ...sasa watu wanataka aige lafudhi za kizungu....

    ReplyDelete
  9. lafudhi ni issue, unaposema rake instead of lake it makes a difference, sometimes inakuwa ngumu mtu kukuelewa.una maana gani. inshort brushup ni muhimu.

    ReplyDelete
  10. Kingereza kitu gani bwana,wa-TZ tunataka mabadiliko ,tena bora awe anatumia kiswahili kabisa iwe moja kati ya madiliko anayokuja nayo.GOD BLESS TZ.

    ReplyDelete
  11. Nipo marekani karibu ya miaka ishirini na nimemsikiliza magufuli anavyongea kiengereza kinatosha kabisa. Ukimlinganisha yeye na waziri mkuu wa India kwa kuongea kiengereza magufuli yupo juu kabisa. Kuna wale viongozi wa juu wa China ndio kabisa magufuli anaweza kuwa mwalimu wao. Hata ukiwasikiliza wagana na wanagiria basi utagundua magufuli yupo poa tu kilafdhi. Kiengereza chake kinatosha kabisa as his second or third language safi sana.

    Mdau kutoka Ny city.

    ReplyDelete
  12. Cha muhimu alokuwa akizungumza nae amemuelewa

    ReplyDelete
  13. warusi wanaongea lugha yao,wachina pia ,wajapani lugha yao,acheni ushamba English ni lugha kama kiha tu,

    ReplyDelete
  14. Akiwa vasco dagama atakijuwa tuu

    ReplyDelete
  15. Msikilize Ban Ki Moon anavyobonga Kiingreza. Hutampenda kama wee ni mpenzi wa tongue rolling. mwache President achape kazi

    ReplyDelete
  16. Kwa sasa hatuhitaji kiingereza, tunataka maendeleo ya nchi na mtu mmojammoja .Isitoshe wanaojua ndio waliotufikisha hapa,Tunachelewa kwa kuwa tuna ng'ang'ana na lugha za watu,waulize mataifa mengine wameendelea kwa lugha za watu au kwa kufanya kazi?

    ReplyDelete
  17. Maendeleo huletwa kwa kufanya kazi,isitoshe wanaojua wametufikisha hapa tulipo,huko ni kuendeleza ukoloni,tumwache bwana afanye tunayohitaji kwa sasa.Ahsanteni wakuu.

    ReplyDelete
    Replies
    1. hata rais wa china alikuja tz aliongea kichina mkalimani akatafasili kwan hajui kingereza watz tuamke tuache ushamba kingereza si maendeleo tunayotaka.

      Delete

Top Post Ad

Below Post Ad