Je Kumtimua Mourinho ni Maamuzi Sahihi Kwa Mustakabali wa Chelsea? Kitendo Walichokifanya Wachezaji wa Chelsea ni cha Kipuuzi

Mashabiki wengi wa Chelsea wamefuraishwa sana na matokeo ya mechi ya Jana kati ya Chelsea na Sunderland baaada ya kuibuka na ushindi wa mabao matatu kwa moja
Lakini tujiulize kuhusu mustakabali wa Chelsea miaka mitano au kumi ijayo
Je kumtimua Mourinho ni maamuzi sahihi kwa mustakabali wa Chelsea?

Mimi naona sio sahihi kuendekeza sana wachezaji wa chelsea kuamua boss wao awe nani.La sivyo baada ya miaka kumi tusishangae Chelsea ikiwa imefundishwa na walimu zaidi ya 20
  na hakipaswi kushabikiwa na wote waipendao Chelsea 

Wamehujumu timu na sio Mwalimu..
Leo Mourinho yuko wapi? Na timu ipo nafasi ngapi?
Walichokifanya Wachezaji ni Usaliti na Uhujumu ni bora kuwa na wachezaji wabovu wenye nidhamu kuliko hao would Class prayers wasio na nadhimu na timu
Shame Hazard,Shame Costa and you're thinking to be the world prayer

By Jeffa Mlabwa
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad