Nini Kimemkuta Ommy Dimpoz? Nyimbo zake za Sasa Zimekosa Ladha

Mimi ni mshabiki wa Ommy Dimpoz kitambo kidogo tangu anatoa nainai lakini siku hizi ananiangusha sana tangu wanjera na hii mpya ya sasa achia body ambayo kimsingi nyimbo imekosa ubunifu, nyimbo imefanana na shikorobo ya Shetta hasa beat, melody nyepesi mno haivutii...Nyimbo zake kwa sasa zinabebwa na Video na si Kingine.......

Ommy rudi kwenye identity yako utakuwa zaidi hata uko kimataifa unakota kwenda, umemtoa Vanessa mdee na amepiga hatua kuliko wewe, wake up Dimpoz.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad