Taarifa Kwa Umma Toka Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi

Taarifa Kwa Umma Toka Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi


Nafasi za Ajira

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Maskini ndiye atakae asirika na zoezi hili.Mfano mm niliuziwa kiwanja akijapimwa na nikafuatilia aridh hili wanipimie matokeo yake walipima ramani nakuniambia nitoe kiasi cha hela nikatoa,Cha kushsngaza ni mwaka wa kumi sasa karibu wa nane wananizungusha mpaka muhusika wengine wamestaafu,hela walichukuwa shamba alikupimwa so nikaona ni isumbufu nikaamua kujenga so mnapo tubomolea nyumba kwa watu wa aridh wana usika sana na unyanyasaji hilo mmelifumbia macho.Mnakimbilia kutubomolea nyumba mtu kajenga kwa gharama nasema aridhi wanausika na hili eatu kujenga olela.

    ReplyDelete
  2. Tatizo lipo hadi CCM
    Kiwanja cha uhuru Shinyanga mjini kilikuwa wazi tangu uhuru CCM wakakipora wakajenga makao makuu yake ya mkoa na majengo mengine sisi wazaliwa wa Shinyanga mjini tunajuwa fika licha ya kupora ukumbi starehe ulikuwa Unamilikiwa kampuni ya almasi mwadui
    CCM nanyi rudisheni maneno yote wazi umliyojimilikisha
    Vinginevyo ni uongo kuwanyanganya watu mliopa kwenye serikali zenu
    Wanashinyanga tunataka uwanja wetu wa uhuru Upo katikati ya mji wa Shinyanga

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad