Tanesco Bado Mnafungulia Maji Usiku Katika Mabwawa Yenu? Mvua ni Nyingi Mgao Ukome Basi!

Kuna mkuu mmoja aliwatuhumu Tanesco kwamba huwa wanafungulia maji usiku ili mabwawa yaonekane hayana maji, Mgao uanze wapige dili za mafuta na Jenereta,Mwaka huu mvua ni nyingi sana, hatutarajii muendelee kutukatia umeme kama mnavyofanya katika mikoa ya Arusha na Mwanza...natoa wito kama kuna wanaofungulia maji bado wakamatwe.....

Nafasi za Ajira
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad