Breaking News: Kimenuka Tena Bungeni..Upinzani Watoka nje Baada ya Kunyimwa Muongozi na Naibu Spika Tulia

Hali ya sintofahamu imeendelea ndani ya bunge baada ya wabunge wote wa Upinzani kutoka ndani ya bunge mara baada ya Wabunge kuanza kuchangia hotuba ya Rais.

Baada ya  kipindi cha Maswali na Majibu, yalifuata matangazo  na   baada ya Matangazo, wabunge wakaanza kuchangia hotuba ya Rais Magufuli .

Wakati hayo yakiendelea, wabunge kadhaa wa UKAWA akiwemo mbunge wa Ubungo(chadema), Saed Kubeneawalikuwa wakiomba muongo wa Naibu Spika ili waongee lakini hawakupewa nafasi.

Naibu Spika alikataa miongozo hiyo na kulitaka Bunge lijikite katika kujadili Hotuba ya Rais. Hali hiyo iliwakera wabunge wa upinzani  kwa madai kuwa wamezibwa midomo na hivyo wakaamua kutoka nje ya ukumbi wa bunge

Tags

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mwambieni asafishe kikwapa chape kinachonuka
    Tulijuwa huyu pandikizi la ccm
    Kanuni kazijuwa wapi za bunge hata miezi hana
    Ubabe aupeleke mahakamani
    Fyuuu Tulia

    ReplyDelete
  2. ndugai kwanini anaendesha bunge na matempa? nchi za africa bwana zimezongwa na uswahili, roho mbaya na ushamba

    ReplyDelete
  3. Hawa watu Sasa wamenichosha

    ReplyDelete
  4. Mi nilidhani uongozi wa sasa kuanzia ngazi ya juu mambo yatabadilika eeh kumbe ni yale yale ama kweli waliimba ccm ni ile ile

    ReplyDelete
  5. Wamekuja Na stail ya ma dk, professor, wanajeshi
    Ccm Tanzania haiongozwi na hayo
    Tanzania inataka waadilifu na siyo watishaji watu
    Kila kona dk , maprofesa Na wengine kupewa u ukuu WA wilaya
    Au katibu mkuu
    Mnadhalilisha elimu
    Ndo maana vasco kila chuo ana PhD
    Mbona mkapa Hana hizo PhD

    ReplyDelete
  6. UDIKTETA UMEKWISHAPIGA HODI TANZANIA.WABUNGE WETU UKAWA SHIKAMANENI ZAIDI.UNALAZIMISHA KUJADILI HOTUBA AMBAYO HATUIUNGI MKONO,HUO NI WEHU NA WENDAWAZIMU.WABUNGE WETU UKAWA WAKIOMBA RUKSA KUTOA HOJA,HAWARUHUSIWI KUFANYA HIVYO,DAWA NDIYO HIYO,KUWAACHIA UKUMBI CCM,KWANI WANAJADILI YA KWAO.SASA HIVI ANZENI KUKUSANYA KURA ZA KUTOKUA NA IMANI NA WAZIRI MKUU,SPIKA NA NAIBU WAKE NA PIA MWENYEKITI WA BUNGE.KWA MIAKA HII MITANO TWENDE HIVYO.HAKUNA KULALA,WANANCHI WENGI TUNAWAUNGENI MKONO.WOTE KWA PAMOJA TUKEMEE UDIKTETA.NI UHALIFU MKUBWA WA DEMOKRASI NA MAENDELEO.WANAFIKIRIA KUTAWALA HAWAFIKIRII MAENDELEO.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad