Chuchu Hans Akanusha Habari za Kuwa Yeye ana Ugomvi na Johari Sababu ya Ray

Mrembo na mwigizaji wa filamu za bongo amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu  Johari aliyekuwa mpenzi wa Ray kabla yake na kujibu kuhusu uvumi uliyokuwa kwenye mitandao kuwa wana beef kubwa

Chuchu Hans amedai kuwa yeye hakuwahi kuwa na ugomvi na Johari bali ni ulikuzwa tu na mitandao amedai yeye anachojua ni kuwa Johari na Ray ni Business Partner hivyo hawezi kuwaingilia katika kazi na anauheshimu uhusiano huo...

Pia ameongeza kuwa Ray anapenda sana watoto hivyo anawalea watoto wake wawili aliopata kwa bwana mwingine kama watoto wake

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. kumbe lishuga mamy

    ReplyDelete
  2. Ray naye kugombaniwa
    Fyuuu tunapishana mita tu sote tu majora
    We are family na huyo Ray wenu
    Aka

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad