Kambi Rasmi Ya Upinzani Yagoma Kusoma Hotuba Yao Bungu Lasitishwa

Bunge
Kwa mara nyingine bunge limesitisha shughuli zake baada ya kambi rasmi ya upinzani bungeni kugoma kusoma hotuba yao ya mpango wa maendeleo wa miaka mitano.

Hali hiyo imejitokeza baada ya Mh Zitto kuomba mwongozo na kusema "Serekali imefanya makosa kwa kuwasilisha mpango huo kwa mwaka mmoja mmoja jambo ambalo ni kinyume na kanuni na katiba yetu
Wakati Zitto anaomba mwongozo, alimwomba mwenyekiti wasitishe shughuli mpaka marekebisho yakafanyike. Lakini Chenge alikataa, Cha kushangaza baada ya upinzani kugoma kuwasilisha Hotuba yao ghafla alisitisha.

Nimejiulizaa alichomkatalia Zitto ni nini na alichokuja kukifanya ni nini?
Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. huyu change ni JANGA!!

    ReplyDelete
  2. ccm ni ile ile hata raisi awe nani kamati kuu ndo inaongoza nchi

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad