Mastaa Wanaodaiwa Kuwauza Wenzao Kwa Wanaume Wenye Pesa Watajwa

Aunty Lulu
MASTAA kadhaa hapa Bongo wamekanyaga skendo ya kudaiwa kuwauza wenzao kwa wanaume ambapo katika orodha hiyo wamo Lungi Mwaulanga,Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ na Maimartha Jesse.

Chanzo cha habari kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, mastaa hao ndiyo wamekuwa wakitumika kuwaunganisha wasaniii wenzao kwa mapedeshee huku wao habari hii, waandishi wetu walizungumza na wahusika ambao kila mmoja alifunguka kivyake.

LUNGI: Mh! Mimi mtu akimtaka mtu f’lani huwa nampa namba tu, wanajuana wenyewe, kwani dhambi? MAI: Mimi niwauze wenzangu, acha hizo bwana, mimi nauza bidhaa zangu.

ANTI LULU: Hivi kumpa mtu namba ya staa ni kumuuza? wakiambulia ‘cha juu’. “Wanafanya hako kabiashara kishkaji sana, akitokea mwanaume kumtaka staa f’lani wao ndiyo wanagawa namba au kuwaunganisha kabisa kisha nao wanalipwa. Katika kubalansi

Source:Global Publishers
Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Oops minyama yote hii

    ReplyDelete
  2. anafilana vibaya mno huyo mdada

    ReplyDelete
  3. Hana kioo nyumbani kwake akajitazama jamani
    Bure bureshi unatishashoga
    Madabwada mferezi wa feri

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad