Mengine yaibuka Kuhusu Ranger Rover ya Wema Sepetu Baada ya Kusemekana Imekamatwa

Baada ya Martin Kadinda kusema gari ya Wema yuko nayo kihalali, hakuna deni lolote la kodi alikwepa kwenye kulipia gari hilo aina ya Range Rover aliyojipa zawadi.

Soudy Brown kayanasa mengine, amesema kulikuwa na stori kwamba kuna watu walikamata garni hiyo ikiwa haina baadhi ya nyaraka zake, mambo yakaenda baadae jamaa wakalikamata gari hilo na kuondoka nalo.. Soudy akamcheki Martin Kadinda, jibu lake ni kwamba na yeye aliisikia story ya namna hiyo lakini hakuwa anajua kinachoendelea.

Martin amesema alimtafuta Wema, akaenda nyumbani kwake na kukuta gari hilo lipo, alipomuuliza Wema kuhusu stori ya gari kukamatwa amesema Wema alimwambia hakuna sababu ya kuuliza gari wakati analiona lipo kwake halijakamatwa.

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Tunaomba ishu nyengine please za huyu mrembo tumezichoka.Thanks

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad